Timu ya soka ya Fc Barcelona ya Hispania imeruhusiwa kuuza na kununua wachezaji msimu huu wa majira ya joto, baada ya shirikisho la kandanda Duniani, FIFA kuiondolea kikwazo timu hiyo ya kutosajili au kuuza wachezaji iliyokuwa imeiwekea hapo awali.
Barcelona ilikumbana na adhabu hiyo ya kutosajili kwa miezi 14 baada ya kupatikana na kosa la kuvunja kanuni ya FIFA inayozuia kusajili wachezaji walio chini ya miaka 18.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni