Lori la mizigo lenye namba za usajili T 586 AMZ lililokamatwa na jeshi la polisi mkoani Simiyu likiwa limepakia zaidi ya magunia 19 ya bangi hivi karibuni yakiwa ndani ya kontena lililokuwa limebebwa na lori hilo.
Magunia ya bangi yaliyokamatwa na jeshi la polisi mkoani Simiyu hivi karibuni katika operesheni kabambe ya kupambana na uhalifu na wahalifu inayoendeshwa na Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Charles Mkumbo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni