Magari hayo yakiteketea kwa moto
Jumatano, 23 Aprili 2014
MAGARI KADHAA YACHOMWA MOTO, KISA NI MFANYAKAZI KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA KUDAIWA KUPIGWA RISASI
Taarifa ambazo tumezipata usiku huu zinasema magari kadhaa ya kampuni ya Ujenzi wa barabara ya Aersleff Bam International yamechomwa moto baada ya mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo kupigwa risasi akidaiwa kuiba mafuta. Kampuni hiyo inajenga barabara ya Sumbawanga - Tunduma.
Magari hayo yakiteketea kwa moto
Magari hayo yakiteketea kwa moto
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni