.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Aprili 2014

MIYEYUSHO NA CHEKA WASHINDWA KUNG'AA PTA, MIYEYUSHO APIGWA

Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde naGavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point
Bondia Francis Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand kulia akiwa amemkalisha bondia Francis Miyeyusho katika raundi ya kwanza ya mpambano wa raundi kumi na kushinda kwa K.O.
Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akijitutumua kupigana na Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand. Miyeyusho alipigwa raundi ya kwanza bila huruma

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni