Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe. Moshi Chang'a ( enzi za uhai wake ) akizungumza katika mahafali ya pili ya chuo cha ualimu St. Aggrey Chanji.
Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Mh Moshi Chang'a amefariki dunia leo jioni katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa maradhi ya Kisukari.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni