.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Aprili 2014

MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MH. MOSHI CHANG'A AFARIKI DUNIA

Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mhe. Moshi Chang'a ( enzi za uhai wake ) akizungumza katika mahafali ya pili ya chuo cha ualimu St. Aggrey Chanji.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Mh Moshi Chang'a amefariki dunia leo jioni katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa maradhi ya Kisukari.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni