Bunduki na risasi zake zilizokamatwa toka mikononi mwa wahalifu katika operesheni kabambe ya kupambana na uhalifu na wahalifu katika mkoa wa Simiyu ambayo inaendeshwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Charles Mkumbo
Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo akiwaonyesha waandishi wa habari ( hawapo pichani ) silaha zilizokamatwa toka mikononi mwa wahalifu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni