.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Aprili 2014

RAIA WA KENYA NA GUINEA WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO YENYE THAMANI YA MILIONI 78

Raia wa Guinea kwa kushirikiana na raia wa Kenya, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na meno ya Tembo yenye thamani ya shilingi 78.

Raia huyo wa Guinea, N'Faye Doukoure na Keneth Kamau Maina ambaye ni raia wa Kenya, walifikishwa mahakamani na hawakutakiwa kujibu lolote hadi ijumaa wiki hii kesi hiyo itakapotajwa tena. 

Watuhumiwa hao walikamatwa alihamisi iliyopita karibu na kituo cha mafuta cha Lang'ata wakiwa na vipande 133 vya meno ya Tembo.

Polisi imesema bado inaendelea na uchunguzi wa kesi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni