Raia wa Ufaransa aliyekuwa anashikiliwa mateka nchini Mali toka mwaka 2012 amefariki dunia.
Taarifa hiyo imetolewa na kikundi kikundi cha waislamu wenye siasa kali nchini Mali ambacho kinasadikiwa kuwa na uhusiano na kundi la Kigaidi la Al Qaeda. Msemaji wa kikundi hicho amenukuliwa na shirika la habari la AP akisema kuwa,
"raia huyo wa Ufaransa Gilberto Rodriques amefariki kwa kuwa Ufaransa ni maadui wetu", alinukuliwa msemaji huyo Yoro Abdoul Salam.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni