RAIS JAKAYA KIKWETE AFANYA ZIARA MKOANI KILIMANJARAO
Viongozi mbalimbali wa chama na serikali wakijiandaa kumpokea rais Kikwete alipowasili mjini Moshi.
Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akiteta jambo na Niabu Meya wa manispaa ya Moshi Dk Mmbando ikulu ya mjini Moshi.
Rais Kikwete akiwasili ikulu mjini Moshi akipokelewa na mwenyeji wake mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama pamoja na mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi.
Baadhi ya wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa chama na serikaliNa
Kwa hisani ya Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni