.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Aprili 2014

VIFO VYAONGEZEKA KIVUKO CHA KOREA KUSINI

 Ndugu na jamaa wa waliozama na kivuko huko Korea Kusini wameshikwa na hasira na kulalamikia zoezi la uokoji, wakisema hawaridhishwi na kasi ya uokoaji wa ndugu zao katika kivuko hicho kilichozama jumatano
 Polisi waliongezwa kuimarisha ulinzi ili kukabiliana na ndugu hao wenye hasira.Polisi walifanikiwa kuwazuia zaidi ya watu 100 waliotaka kuingia Seoul kutoka kisiwa cha Jindo
 Baada ya juhudi za siku tatu, hatimaye wapiga mbizi jana walifanikiwa kuingia ndani ya kivuko hicho na kutoa miili 22 na kufanya idadi ya waliofariki dunia kutokana na kuzama kwa kivuko hicho kufikia 54. 

Mpaka sasa watu 174 ndio waliookolewa na wengine 248 bado hawajaonekana
Waokoaji wakibeba moja ya miili ya waliopoteza maisha baada ya kuzama kwa kivuko hicho

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni