.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Aprili 2014

WALIOPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA MAPOROMOKO YA THELUJI MLIMA EVEREST WAFIKIA 13

 Watu 13 ambao wanashughulika na shughuli za kuwasindikiza watalii kukwea milima nchini Nepal wamekufa baada ya kuporomokewa na theluji katika mlima Everest. Hadi kufikia jana jumamosi waongoza watalii wengine watatu walikuwa bado hawajaonekana
                                                             Maporomoko ya Theluji yalivyokuwa 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni