Watu sita wameripotiwa kufariki na wengine watano wana hali mbaya na wamelazwa katika hospitali ya Kijabe, kufuatia ajali iliyohusisha basi la abiria ( matatuu ) na lori la mizigo eneo la Kinungi katika barabara kuu ya Naivasha - Nairobi.
Mmoja wa majeruhi, Lucy Nyakanini ( pichani ) amesema dereva wa basi alilokuwa amepanda alikuwa anajaribu kulipita basi lingine lililokuwa mbele yao, ndipo walipogongana na lori lililokuwa linakuja mbele yao.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni