.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Aprili 2014

WATU 6 WAMEFARIKI DUNIA NA WENGINE 5 WANA HALI MBAYA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA NAIVASHA

Watu sita wameripotiwa kufariki na wengine watano wana hali mbaya na wamelazwa katika hospitali ya Kijabe, kufuatia ajali iliyohusisha basi la abiria ( matatuu ) na lori la mizigo eneo la Kinungi katika barabara kuu ya Naivasha - Nairobi. 

Mmoja wa majeruhi, Lucy Nyakanini ( pichani ) amesema dereva wa basi alilokuwa amepanda alikuwa anajaribu kulipita basi lingine lililokuwa mbele yao, ndipo walipogongana na lori lililokuwa linakuja mbele yao.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni