Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akimkaribisha Balozi wa Norway nchini anayemaliza muda wake Mhe.
Ingunn Klepsvik wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini
Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Norway nchini anayemaliza
muda wake Mhe. Ingunn Klepsvik wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga
ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akizungumza na Balozi wa Norway nchini anayemaliza muda wake Mhe.
Ingunn Klepsvik wakati balozi huyo akimuaga ikulu jijini Dar es
Salaam leo asubuhi (picha zote na Freddy Maro).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni