Uwekezaji mkubwa wa Chelsea katika
kuwanunua Diego Costa na Cesc Fabregas huenda ukawa ni biashara nzuri
baada ya wachezaji hao kuisaidia Chelsea kushinda kwa mabao 3-1 dhidi
ya Vitesse Arnhem.
Katika mchezo huo wa kirafiki wa
kujiandaa na Ligi Kuu ya Uingereza, Cesc Fabregas aliifunga goli lake
la kwanza tangu ajiunge na Chelsea ambapo awali Mo Salaha na Nemanja
Matic na walicheka na nyavu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni