Malcolm Glazer (Kulia) akiwa na
watoto wake Joel na Bryan
Wamiliki wa timu ya Manchester
United wanajiandaa kuingiza dola milioni 150 kwa kuuza hisa zaidi za
klabu hiyo katika Soko la Hisa la New York.
Klabu hiyo imesema familia ya Glazer
itauza hisa milioni nane, ama kiasi cha asilimia 5 ya umiliki wao.
Familia ya Glazers, ambao bado
watakuwa ndio wamiliki wa klabu hiyo, awali waliuza hisa asilimia 10
ya hisa zake 2012.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni