Liverpool imeanza vibaya michezo
wake wa kirafiki kujipima nguvu kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu
ya Uingereza kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Roma.
Bao pekee la Roma lilipatikana
katika dakika ya 90 baada ya beki wa Liverpool Daniel Agger kujifunga
kwa kuugonga mpira wa kichwa uliopigwa na Marco Borriell.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni