.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Julai 2014

LIVERPOOL YAJIKUTA IKIKUBALI KIPIGO KUTOKA KWA ROMA

Liverpool imeanza vibaya michezo wake wa kirafiki kujipima nguvu kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Uingereza kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Roma.

Bao pekee la Roma lilipatikana katika dakika ya 90 baada ya beki wa Liverpool Daniel Agger kujifunga kwa kuugonga mpira wa kichwa uliopigwa na Marco Borriell.

Beki Ashley Cole akiwa kibaruani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni