Manchester City imeibuka na ushindi
wa mabao 4-1 dhidi ya Sporting Kansas katika mchezo wao wa kirafiki
wa maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Uingereza.
Manchester City walipata bao lao la
kwanza kupitia mchezaji wao mpya Zuculini, hata hivyo Sapong
aliisawazishia Sporting Kansas, mabao mengine yalifungwa na Boyata ,
Kolarov kwa penati na Iheanacho.
Bruno Zuculini akishangilia bao alilolifunga
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni