.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Julai 2014

MANCHESTER CITY YAIPIGA SPORTING KANSAS MABAO 4-1

Manchester City imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Sporting Kansas katika mchezo wao wa kirafiki wa maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Uingereza.

Manchester City walipata bao lao la kwanza kupitia mchezaji wao mpya Zuculini, hata hivyo Sapong aliisawazishia Sporting Kansas, mabao mengine yalifungwa na Boyata , Kolarov kwa penati na Iheanacho.
                                      Bruno Zuculini akishangilia bao alilolifunga



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni