.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 31 Julai 2014

MAPOROMOKO YA ARDHI YAFUKIA ZAIDI YA NYUMBA 40 NCHINI INDIA

 Vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliosalimika kufuatia maporomoko ya udongo yaliyokikumba kijiji cha Malin kilichopo karibu na mji wa Pune katika jimbo la Maharashtra magharibi mwa India. 

Maporomoko hayo yamefukia zaidi ya nyumba 40, na inaelezewa kuwa watu zaidi ya 23 wamefariki dunia, huku watu 10 wakiolewa toka katika maporomoko hayo. 

Maporomoko ya ardhi imekuwa ni kitu cha kawaidi nchini India hasa katika vipindi vya mvua nchini humo.
 Magari ya vikosi vya uokoaji yakipita kwa taabu baada ya barabara kuharibiwa na maporomoko hayo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni