Mfanyabiashara mmoja Jijini Kampala
amewashangaza wakwe zake na mashemeji baada ya kumuacha mkewe
kutokana na kushindwa kumzalia mtoto wa kiume, ambaye ataendeleza
ukoo wake.
Mfanyabiashara huyo Mathew
Sserubidde, ambaye amemtelekeza mkewe aliyemzalia watoto wakike
watatu, anajipanga kumuoa mtoto wa kocha wa soka Sam Ssimbwa,
kutokana na kuamini mkewe hana uwezo wa kumzalia mtoto wa kiume.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni