Mfungwa aliyehukumiwa adhabu ya kifo
nchini Marekani, Joseph Wood amekufa kwa taabu baada ya kuchomwa
sindano ya kifo na kuchukua muda wa saa mbili kabla ya kukata roho.
Wood ambaye alimuua rafiki yake wa
kike pamoja na baba wa rafiki wake huyo wa kike, awali alitaka kujua
dawa itakayotumika kumuua na kufungua kesi mahakamani.
Wakili wa Wood amesema mteja wake
alikuwa akivuta hewa na kukoroma kwa muda wa saa moja katika chumba
cha mauaji.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni