Mwanamichezo wa Australia amekamatwa
baada ya kugombama katika kijiji cha michuano ya Jumuiya ya Madola.
Mwanamichezo huyo amefunguliwa
mashtaka ya kumshambulia mtu baada ya tukio hilo la jana na atafika
mbele ya mahakama ya Glasgow Sheriff hapo kesho.
Inadaiwa kuwa mwanamichezo huyo ni
mnyanyua vyuma Francois Etoundi, ambaye alitwaa medali ya shaba siku
ya jumatatu kwa kunyanyua uzito wa kilo 77.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni