Mwanariadha Mo Farah ambaye amepata kunyakua medali mbili za dhahabu katika michezo ya Olimpiki katika mbio za mita elfu tano na mita elfu kumi, michezo iliyofanyika jijini London Uingereza mwaka 2012, amejiondoa katika michezo ya Jumuiya ya Madola ambayo imeanza jana huko Glasgow, Scotland kutokana na afya yake kuzorota.
Hata hivyo Farah anaendelea kujifua kwa ajili ya michezo ya Umoja wa Ulaya inayaotarajiwa kufanyika mwezi August Zurich, Uswis
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni