Shirika la Ndege la Taifa la
Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na ndege yake moja iliyokuwa
ikiruka ikitokea Burkina Faso kuja Algiers kukatiza jangwa la Sahara.
Mawasiliano hayo yametoweka baada ya
dakika 50 tangu ndege hiyo iruke kutoka mji wa Ouagadougou.
Ndege hiyo AH 5017 ilikuwa na abiria
110 na watumishi sita, na inamilikiwa na shirika la ndege la Hispania
la Swiftair.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni