Umoja wa Mataifa umesema kundi la
dola ya Kiislam Isis limewaagiza wanawake wote na wasichana wa Mosul,
kaskazini mwa Irak kufanyiwa ukeketaji.
Afisa wa Umoja wa Mataifa Jacqueline
Badcock amesema agizo hilo la fatwa, linapaswa kutekelezwa kwa watoto
wa kike wa umri kuanzia miaka 11 hadi wanawake wa miaka 49.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni