.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Julai 2014

WANAJESHI WA KIKOSI MAJINI NCHINI KENYA WAMEREJESHWA TENA KUSAIDIA POLISI MOMBASA

Jeshi la Maji la Kenya limerejeshwa tena kusaidi operesheni ya jeshi la polisi eneo la Likoni, Mombasa baada ya kuibuka hofu juu ya ripoti za kuonekana watu wenye silaha wakiranda eneo hilo.

Kutokana na taarifa hizo za hofu ya kushambuliwa wazazi walilazimika kuwaondoa shuleni watoto wao jana huku wafanyabiashara nao wakifunga biashara zao katika eneo hilo la Likoni, ambapo baadae vyombo vya dola vilibaini bomu la kutupwa kwa mkopo katika kitongoji cha Soweto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni