Aaron Ramsey akishika kichwa akisikitika kupewa kadi nyekundu
Mchezaji Aaron Ramsey amejikuta
akitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati Arsenal ikitoka sare tasa
katika mchezo wa ugenini dhidi ya Besiktas.
Katika mchezo huo wa klabu bingwa
Ulaya aliyekuwa mchezaji wa Chelsea Demba Ba nusura aifunge Arsenal
baada ya shuti lake la umbali wa nusu uwanja kugonga mwamba.
Demba Ba akiwajibika
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni