Mwenyekiti wa
Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari
za Jumuiya ya Afrika Mashariki(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es
Salaam kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza
tarehe 22 na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwenyekiti wa
Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari
za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi
wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22, kulia ni Kaimu
Katibu Mkuu wa TAMISEMI Packshard P. Mkongwi. Kutoka kushoto ni
Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini, Mkurugenzi Msaidizi wa
Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Bibi. Juliana Yassoda, Mkuu wa Uhamasishaji wa Shirikisho la
Michezo kwa Shuleza Sekondari Afrika Mashariki (FEASSSA)Bw. Felix
Shija wakifuatilia maelezo ya : Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya
mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika
Mashariki (FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa
habari leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bibi. Juliana Yassoda Mkuu wa Uhamasishaji na
Matangazo wa Shirikisho la Michezo kwa Shule za Sekondari Afrika
Mashariki (FEASSSA) Bw. Felix Shija wakifuatilia maelezo ya
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule
za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA) Mhe. Mwantumu
Mahiza wakati akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es
Salaam. (Picha zote na Frank Shija, Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini,WHVUM).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni