Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
Jenerali Davis Mwamunyange akifungua kiwanja kipya cha Michezo
kitakachotumika kwa ajili ya michezo ya Majeshi ya Shirikisho la
Jumuia ya Afrika Mashariki, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Abdalla Mwinyi na kushoto ni Mkuu wa Brigedi ya Nyuki, Brigedia
Jenerali Sharif Sheikh Othman.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
Jenerali Davis Mwamunyange akimpongeza Mkandarasi wa kiwanja hicho
kutoka Kampuni ya M. S Maya Heardwere ya Zanzibar Bw. Abdallah M.
Salim.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
Jenerali Davis Mwamunyange akizungumza na wanahabari mara baada ya
ufunguzi wa kiwanja hicho Migombani Zanzibar jana Agosti 19.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania
Jenerali Davis Mwamunyange akipokea saluti mara baada ya kuwasili
kwenye ufunguzi wa kiwanja kipya cha Michezo kilichopo Makao Makuu
ya Brigedi ya Nyuki Migombani. (Picha
na Makame-Maelezo Zanzibar).
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni