Mtoto mchanga aliyezaliwa Mjini
Mombasa nchini Kenya na kulazimika kufanyiwa upasuaji kurekebisha
hali isiyo ya kawaida aliyozaliwa nayo amefariki dunia.
Mtoto huyo Islam Saidi alizaliwa
Alhamisi ya wiki iliyopita huku sehemu ya haja kubwa ikiwa imeziba
alishindwa kufanyiwa upasuaji hadi jumatatu wiki hii kutokana na
madaktari kuwa kwenye mgomo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni