.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 17 Septemba 2014

BENKI YA DUNIA YASEMA UGONJWA WA EBOLA UTASABABISHA MADHARA YA KIUCHUMI

Benki ya Dunia imesema mlipuko wa ugonjwa wa Ebola utaweza kuleta madhara ya kiuchumi kwa nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone.

Chombo hicho kimesema madhara ya kiuchumi yanaweza kuongezeka kwa kasi katika mataifa ambayo yameathirika na ugonjwa huo.

Hata hivyo Benki ya Dunia imesema madhara ya kiuchumi yanaweza kuwa machache iwapo mlipuko huo wa Ebola pamoja na hofu vitadhibitiwa haraka na jitihada za mataifa duniani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni