Wageni Schalke walitangulia kufungwa kipindi cha kwanza, lakini walipambana kiume ugenini na kufanikiwa kutikisa nyavu za Chelsea kwa bao lililofungwa na nahodha wao Klaas-Jan Huntelaar katika kipindi cha pili cha mchezo na kufanya matokeo kuwa 1-1.
Cesc Fabregas ( kushoto ) akiifungia Chelsea bao la kuongoza katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo dhidi ya Schalke katika mchezo wa ligi ya mbaingwa usiku wa kuamkia leo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni