.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Septemba 2014

POLISI NCHINI KENYA WAWAPIGA RISASI NA KUWAUA MAJAMBAZI WATATU

Polisi nchini Kenya jana usiku wamewapiga risasi na kuwauwa watuhumiwa watatu wa ujambazi na kukamata silaha aina ya AK-47 katika eneo la Mbaruk katika barabara ya Nairobi-Nakuru.

OCPD Bernad Kioko amesema genge hilo lilikuwa linafuatilia lori lililokuwa limebeba vifaa vya umeme wakati waliponaswa na polisi baada ya kupatiwa taarifa zao.

Genge hilo la majambazi inasemekana limekuwa likifanya uhalifu katika maeneo ya Nakuru na Nyahururu kwa muda kabla ya kunaswa jana majira ya saa tatu usiku.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni