Kaimu Mkurugenzi wa wa Benki ya Posta Tanzania, Nzungu Jema Msuya akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dr Norman Sigalla na Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Posta Deo Kwiyukwa ( wa pili kutoka kushoto waliokaa ) wakati benki hiyo ilipokuwa ikigawa kadi ya mashabiki wa Mbeya City.
Mashabiki wa Mbeya City wakihudumiwa toka katika banda la Benki ya Posta
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni