Ligi ya mabingwa Barani Ulaya inaendelea leo katika viwanja mbalimbali barani humo kwa kushuhudia miamba mbalimbali ikiteremka dimbani.
Wakati Chelsea watakuwa nyumbani kuwaalika NK Maribor, wao Manchester City watakuwa ugenini kucheza na CSKA Moscow.
Mechi nyingine za leo za ligi ya Mabingwa Barani Ulaya:-
Roma vs Bayern Munich
Apoel Nicosia vs Paris St German
Barcelona vs Ajax
Schalke vs Sporting Lisbon
BATE vs Shaktar
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni