Licha ya kustaafu soka mwanasoka wa
Uingereza David Beckham bado anaendelea kujiweka fiti katika
kuhakikisha mwili wake haujengi minyama uzembe.
Mwanamichezo huyo mwenye umri wa
miaka 39 alinaswa akionyesha mwili wake wakati akipata wakati mzuri
kwenye fukwe ya Malibu hapo jana.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni