.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Oktoba 2014

MWANAUME ALIYEPOOZA NUSU MWILI AWEZA KUTEMBEA BAADA YA KUPANDIKIZWA SELI

Mwanaume mmoja aliyepooza miguu ameweza kutembea tena baada ya kufanyishwa mazoezi ya kitabibu pamoja na kupandikizwa seli kwenye uti wake wa mgongo kwa kupitia kwenye tundu za pua.

Tiba hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika duniani, imefanywa na madaktari bingwa wa upasuaji wa Poland kwa ushirikiano na wanasayansi wa London.

Mwanaume huyo Darek Fidyka, ambaye alipooza sehemu ya mwili kuanzia kifuani hadi miguuni kufuatia kushambuliwa na kisu mwaka 2010, hivi sasa anaweza kutembea kwa msaada wa vifaa maalum.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni