Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi
ya Rais, Profesa Mark Mwandosya Mwandosya na Balozi wa Tanzania
nchini Ethiopia Mhe. Naimi Aziz (wa pili kushoto) wakitembelea mradi
wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia (Great Ethiopian Renaissance
Dam-GERD).
Waziri wa Maji Umwagiliaji na Umeme
wa Ethiopia Mheshimiwa Alemayehu Tegenu, kushoto, na Waziri wa Nchi
(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, kulia, wakipata
maelezo kutoka kwa Meneja wa Mradi Mhandisi Bekele.
Waziri Tegenu wa Ethiopia akiwa
katikati mwenye kofia ya kijani,kulia kwake ni Mheshimiwa Naimi Aziz,
Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, wa kwanza kushoto kwake ni Mama
Lucy Mwandosya, mke wa Waziri Mwandosya, wa pili kushoto kwake ni
Waziri Mwandosya wa tatu kushoto kwake ni Mhandisi Bekele, Meneja wa
Mradi, wakiwa na wahandisi wa mradi, na ujumbe ulioambatana na Waziri Mwandosya.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni