Rais Goodluck Jonathan amevunja
ukimya na kuthibitisha kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu
utakaofanyika Februari mwakani.
Kabla ya hapo rais Jonathan alikuwa
akikataa kuthibitisha iwapo atawania tena urais wa nchi hiyo.
Kutangaza nia yake ya kuwani urais
kunakuja wakati akikabiliwa na malalamiko mengi juu ya namna
anavyoshughulikia suala la kundi la Boko Haram na tukio la kutekwa
kwa wanafunzi wasichana zaidi ya 200.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni