Rais Uhuru Kenyatta ameyashutumu
mataifa ya kigeni na taasisi zake ambayo hakutaka kuyataja, kwa
kuhusika kutoa fedha kwa vijana wa nchi hiyo ili kujitumbukiza kwenye
siasa za misimamo kali.
Akihutubia wananchi wa Kenya, katika
maadhimisho ya siku ya Mashujaa jana kwenye uwanja wa Nyayo Jijini
Nairobi, rais Kenyatta amezituhumu taasisi za nchini humo kwa
kutumiwa kufanya fujo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni