.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Oktoba 2014

RAIS UHURU KENYATTA AYASHUTUMU MATAIFA YA KIGENI KUCHOCHEA GHASIA KENYA

Rais Uhuru Kenyatta ameyashutumu mataifa ya kigeni na taasisi zake ambayo hakutaka kuyataja, kwa kuhusika kutoa fedha kwa vijana wa nchi hiyo ili kujitumbukiza kwenye siasa za misimamo kali.

Akihutubia wananchi wa Kenya, katika maadhimisho ya siku ya Mashujaa jana kwenye uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi, rais Kenyatta amezituhumu taasisi za nchini humo kwa kutumiwa kufanya fujo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni