.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 21 Oktoba 2014

RAIS WA GHANA ASEMA MAHITAJI MUHIMU YA KUKABILIANA NA EBOLA YAANZA KUWASILI

Rais wa Ghana John Mahama amesema mahitaji muhimu pamoja na rasilimali za kubaliana na ugonjwa wa Ebola zimeanza kuwasili katika nchi tatu za Afrika Magharibi zilizokumbwa mno na ugonjwa huo.

Bw. Mahama ambaye ndie kiongozi wa ushirikiano wa kikanda wa ECOWAS, ameviambia vyombo vya habari vituo vya tiba vimeanzishwa katika nchi za Guinea, Liberia pamoja na Sierra Leone.

Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola umeshauwa watu 4,500 tangu kutokea mlipuko wake mapema mwaka huu, huku vifo karibia vyote vikitokea katika nchi za Guinea, Liberia pamoja na Sierra Leone.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni