.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Oktoba 2014

SERIKALI YA MALI YATHIBITISHA KUPATA MGONJWA WA KWANZA WA EBOLA

Serikali ya Mali imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa wa kwanza wa Ebola katika nchi hiyo.

Mali imesema mgonjwa huyo mwenye umri wa miaka miwili vipimo vimeonyesha anahoma ya virusi hivyo, ambapo alirejea hivi karibuni akitokea Guinea.

Zaidi ya watu 4,800 wamekufa kwa Ebola, idadi kubwa ikiwa katika nchi za Liberia, Guinea pamoja na Sierra Leone tangu mwezi Machi.

Wakati huo huo timu ya wanasayansi wa Kimataifa imekutana kujadili uwezekano wa kutumia damu ya wagonjwa waliopona Ebola, kama tiba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni