.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Oktoba 2014

TOTAL TANZANIA LIMITED NA SATF WATOA MSAADA WA MADAWATI 1000 KWA SHULE ZA TEMEKE


Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Sadick Meck Sadick akimkabidhi madawati 1000 Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke. Madawati hayo ni msaada uliotolewa na kampuni ya mafuta ya TOTAL Tanzania Limited wakishirikiana na shirika la SATF(Social Action Trust Fund). Msaada huo uliratibiwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) 

Wanafunzi wa shule ya msingi Chamazi wakishangilia msaada wa madawati uliotolewa na Kamuni ya TOTAL Tanzania Limited na SATF. Katika picha, mkuu wa mkoa Sadick Meck Sadick (Katikati) akiwa amekaa na mkrugenzi mkuu wa kampuni ya TOTAL Tanzania Limited(Kushoto) na Muwakilishi wa SATF (Kulia)

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, akiwa amekaa na Mkurugenzi mkuu wa TEA, na mkurugenzi mkuu wa TOTAL katika moja ya madawati ya msaada kutoka TOTAL Tanzania Limited na SATF.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni