Mh Spika Anne Makinda amefikia uamuzi huo baada ya kuombwa bunge kuahirishwa kwa saa moja na Waziri wa Nchi, Mh William Lukuvi ili wabunge wa CCM waweze kukutana na kuafikiana ili bunge likapokaa tena waweze kuwa wamoja kwa mustakabali wa nchi yetu.
Hata hivyo Mh Zitto Kabwe yeye aliomba masaa mawili, Mh Mbatia akaomba wapewe muda zaidi, na katika kuhitimisha, Mh Spika akasema bunge litakutana saa kumi jioni.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni