Tottenham ikicheza nyumbani katika uwanja wao wa White Hart Lane usiku wa kuamkia leo wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Partizan Belgrade katika mchezo wa kuwania kusonga mbele katika michuano ya Europa League.
Bao hilo pekee la Tottenham liliwekwa kimiani na mshambuliaji wake Benjamin Stambouli katika dakika ya 48 ya mchezo huo.
Michezo mingine ya Europa League iliyochezwa usiku wa kumakia leo ni kama ifuatavyo:-
Celtic 1 vs 3 FC Red Bull Salzburg
VfL Wolfsburg 0 vs 2 Everton
FC Zurich 3 vs 1 Apollon Limassol
Villarreal 2 vs 2 Borussia Monchengladb
Aalborg 1vs 0 Steaua Bucharest
Dynamo Kiev 2 vs 0 Rio Ave
Dinamo Minsk 0 vs 2 PAOK Salonika
Guingamp 1 vs 2 Fiorentina
KSC Lokeren 1 vs 0 Legia Warswa
Trabzonspor 3 vs 1 Metalist Kharkiv
HJK Helsinki 2 vs 1 FC Copenhagen
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni