.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 29 Novemba 2014

HELKOPTA YA TANAPA YAANGUKA, WATU WOTE WANNE WALIOKUWA NDANI YAKE WAMEFARIKI DUNIA

Picha na maktaba. 

Helkopta inayosemekana inamilikiwa na TANAPA imeanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam leo asubuhi. 

Kwa mujibu wa mashuhuda, wamesema waliona helkopta hiyo ikipoteza uelekeo na badaye kuanguka chini hali iliyosababisha kishindo kikubwa baada ya kulipuka moto. 

Inasemekana ndani ya helkopta hiyo kulikuwa na watu wanne na wote wamepoteza maisha. Tutawapa taarifa zaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni