Helkopta inayosemekana inamilikiwa na TANAPA imeanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Kwa mujibu wa mashuhuda, wamesema waliona helkopta hiyo ikipoteza uelekeo na badaye kuanguka chini hali iliyosababisha kishindo kikubwa baada ya kulipuka moto.
Inasemekana ndani ya helkopta hiyo kulikuwa na watu wanne na wote wamepoteza maisha. Tutawapa taarifa zaidi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni