Serikali ya Kenya imepiga marufuku
kitendo cha raia wa kigeni kuasili watoto wa nchi hiyo.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika
kikao cha baraza la mawaziri kilichoongozwa na rais Uhuru Kenyatta.
Uamuzi huo umefuta mara moja kibali
cha kuasili watoto kwa raia wa kigeni katika ardhi ya Kenya.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni