.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Novemba 2014

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO KATIKA JIJI LA KAMPALA NA KULETA ADHA

Mafuriko yaliyotokana na mvua yamesababisha foleni leo asubuhi Jijini Kampala nchini Uganda kufuatia mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo ikiambatana na radi.

Kartika barabara ya Kampala-Jinja mafuriko yalisababisha kukosekana mawasiliano na makutano ya Kyambogo, huku kina chama maji hayo kikifikia urefu wa nchi kadhaa katika baadhi ya maeneo.

Madereva kadhaa walijikuta wakiwa wamekwama kutokana na kukosa njia mbadala ya kupita kutokana na barabara za Kinawataka na Bugolobi nazo kujaa mafuriko.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni