.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 21 Novemba 2014

MWANDISHI MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITAL YA LUGALO KUANZIA SAA NNE ASUBUHI

Mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari wa kampuni ya New Habari ( 2006 ) Ltd, Innocent Munyuku ( 41 ) aliyefariki dunia usiku wa kumakia juzi unaagwa leo katika hospitali ya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam. 

Taarifa iliyotolewa na Meneja Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Travena Mwaimu ilisema mwili wa Munyuku utaagwa kuanzia saa nne asubuhi. 

Alisema baada ya taratibu za kutoa heshima za mwisho kukamilika, mwili huo utasafirishwa kwenda Mazimbu mkoani Morogoro kwa maziko yatakayofanyika kesho

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni