Polisi nchini Uganda wametoa wito
kwa wanaume wanaopigwa na wanawake zao kutoa taarifa za matukio hayo
polisi.
Naibu Kamishna wa Idara ta Ulinzi wa
Watoto na Familia, Maureen Atuhaire amesema wanaume wengi humizwa na
kukaa kimya, kutokana na kuhofia kutoa taarifa kuwa wamepigwa na wake
zao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni