Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshiwa Anne Makinda amesitisha shughuli za Bunge asubuhi hii hadi hapo saa tano kamili leo asubuhi ili kamati zikakubaliane kwanza juu ya kifungu kilichosababisha wabunge washindwe kuafikiana jana usiku.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni